BBC News, Swahili - Habari

Habari kuu

Uchaguzi Kenya 2022: Yote unayopaswa kujua

Uchaguzi Kenya 2022:Yote unayopaswa kujua

Yote unayopaswa kujua kuhusu uchaguzi wa Kenya Agosti 9 2022

Taarifa kuhusu Coronavirus

Tuyajenge

Sikiliza, Udhalilishaji wa kingono nini?, Muda 28,58

Makala haya yanaangazia suala la unyanyasaji wa Kingono nchini Tanzania na kuonesha namna vitendo hivyo vinavyoweza kuleta athari kwa jamii kama visipoepukwa.

Global Newsbeat

Sikiliza, Meegan The Stallion ataka Troy afungwe jela, Muda 2,01

Nyota wa Rap Meegan The Stallion anataka Troy afungwe jela kwa kumpiga risasi mguuni mwaka wa 2020

Kwa picha: Tuzo za mpigapicha bora wa picha za Dunia Asilia

Wapigapicha kutoka kote duniani waliingia katika shindano la kuwania tuzo za mpigapicha bora wa dunia asilia, ambapo washiriki waliombwa kuwasilisha picha ambazo zinaonyesha maisha duniani na tisho llinaloikabiri sayari yetu. Picha zitakazoshinda zitaonyeshwa katka taasisi ya California Academy of Sciences iliyopo San Francisco, Marekani. Tuliangalia picha zilizoshinda na zilizofuzu mkiwemo zile za nyuki, popo anayepaa. Tazama...

Dira TV

Video, Matangazo ya Dira Ya Dunia TV 27/6/2022, Muda 24,01

Matangazo ya Dira Ya Dunia TV 27/6/2022 na Esther Kahumbi

Vipindi vya Redio

  • Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 28 Juni 2022, Muda 1,00,00

    Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 28 Juni 2022, Muda 29,30

    Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 28 Juni 2022, Muda 29,30

    Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki

  • Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 27 Juni 2022, Muda 1,00,00

    Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki

  • Gumzo mitandaoni

    • Matumizi ya Lugha

      Pengine kitu muhimu kabisa katika uandishi wa habari ni lugha. Kutumia lugha sawa na sahihi inawapa nafasi waandishi wa habari kuripoti habari na wakati huohuo kufuata mwongozo wa uhariri wa BBC. Lugha inaendelea na kubadilika; hapa utapata ushauri kuhusu lugha sahihi na isiyopendelea, athari za mitandao ya jamii juu ya lugha yako na mengi zaidi.

    • Sikiliza, Njia za kukabili habari feki mtandaoni, Muda 6,57

      Habari za uzushi au habari feki zimekuwa zinasambazwa haraka, hasa katika mtandao wa internet. Vipi waandishi wa habari wazikabili.