Kitabu pepe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Kitabu pepe cha Amazon kinaitwa "Kindle 3".

Kitabu pepe (kwa Kiingereza: electronic book au e-book) ni kitabu kinachopatikana kwenye umbo la tarakimu na kusomwa katika tarakilishi, hasa kupitia intaneti.

Zinapatikana pia maktaba pepe ambamo inawezekana kukuta, kuchagua na kusoma vitabu vingi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).