Somalia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Jump to navigation Jump to search
Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia (Kiswahili)
Jamhuuriyadda Federaalka Soomaaliya (Kisomali)
Bendera ya Somalia Nembo ya Somalia
(Bendera ya Somalia) (Nembo ya Somalia)
Lugha rasmi Kisomali
Mji Mkuu Mogadishu
Mji Mkubwa Mogadishu
Serikali Shirikisho la Jamhuri
Rais Mohamed Abdullahi Mohamed
Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble
Eneo km² 637,657
Idadi ya wakazi 11,031,386 (2017)
Wakazi kwa km² 17.2
Uchumi nominal Bilioni $7.9
Uchumi kwa kipimo cha umma $716
Pesa Shilingi ya Somalia
Kaulimbiu "Soomaaliyeey toosoo"(Wasomali waamke)
Wimbo wa Taifa Qolobaa Calankeed (Tuabudu bendera)
Somalia katika Afrika
Saa za Eneo UTC +3 (Wakati wa Afrika Mashariki)
Mtandao .so
Kodi ya Simu +252
Ramani ya mikoa ya Somalia.

Somalia, (kwa Kisomali: Soomaaliya), ambayo inajulikana rasmi kama Jamhuri ya Shirikisho ya Somalia, ni nchi kwenye pwani ya Afrika ya Mashariki katika Pembe ya Afrika.

Kijiografia, imezungukwa upande wa kaskazini-mashariki na Ethiopia na Jibuti, na upande wa magharibi ya kati na Kenya; Ghuba ya Aden nayo iko mashariki.

Mji mkuu na mji mkubwa zaidi ni Mogadishu (wakazi 2,120,000).

Jiografia

Historia

Mji wa Bosaso, Somalia.

Nchi iliunganika mwaka 1960, kutokana na makoloni mawiliː la Waitalia (kusini) na la Waingereza (kaskazini). Baada ya mwaka 1991 nchi ya Somalia ilibaki haina serikali wala umoja wa taifa, iligawiwa na wakereketwa na wanamgambo wa ukoo na eneo, hasa Somaliland, Puntland na Galmudug upande wa kaskazini. Katika miaka 2008-2013 ilihesabika kama nchi filisika. Kwa sasa ni nchi dhaifu lakini inaanza kujengwa upya kama shirikisho.

Klipspringers anaishi katika maeneo ya milimani yenye mimea kidogo.

Watu

Tazama pia: Orodha ya lugha za Somalia

Hii ramani ya mwaka 2002 inaonyesha msongamano wa watu nchini.

Wakazi asili wa Somalia ni Wasomali (85%) wa makabila yafuatayo:

Wengine (15%) ni:

Ramani ikionyesha uenezi wa lugha ya Kisomali katika Pembe la Afrika.

Kisomali ndiyo lugha ya kawaida ya wakazi wengi na lugha rasmi pamoja na Kiarabu. Kati ya lugha nyingine zinazotumika nchini, mojawapo ni Kiswahili.

Upande wa dini, 99.8% ni Waislamu, hasa Wasuni.

Somali lahoh (canjeero).
Eneo la Somaliland.
Mandhari ya milima ya Cal Madow, makao ya spishi nyingi za pekee.
Duka huko Burao.
Watu mjini Hargeisa.

Utawala

Maeneo (umoja: gobolka, wingi: gobollada) ya Somalia, ambayo imegawiwa tena katika wilaya, ni 18:

Mikoa ya Somalia
Mkoa Eneo (km2) Wakazi Makao makuu
Awdal 21,374 673,263 Borama
Woqooyi Galbeed 28,836 1,242,003 Hargeisa
Togdheer 38,663 721,363 Burao
Sanaag 53,374 544,123 Erigavo
Sool 25,036 327,428 Las Anod
Bari 70,088 719,512 Bosaso
Nugal 26,180 392,697 Garowe
Mudug 72,933 717,863 Galkayo
Galguduud 46,126 569,434 Dusmareb
Hiran 31,510 520,685 Beledweyne
Middle Shabelle 22,663 516,036 Jowhar
Banaadir 370 1,650,227 Mogadishu
Lower Shabelle 25,285 1,202,219 Barawa
Bakool 26,962 367,226 Xuddur
Bay 35,156 792,182 Baidoa
Gedo 60,389 508,405 Garbahaarreey
Middle Juba 9,836 362,921 Bu'aale
Lower Juba 42,876 489,307 Kismayo

Mawasiliano

Mawasiliano ya Jamhuri ya Somalia ilikaribia kuangamia kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe, lakini kwa sasa kampuni za binafsi za mawasiliano ya mitambo, zimetwaa karibu miji yote Somalia, na hata kutoa huduma njema kuliko nchi zilizo jirani.

Somalia ni nchi mojawapo Afrika ambayo ina mawasiliano ya bei rahisi zaidi, pengine kwa kuwa Somalia haikuwa na serikali iliyotoza ushuru; (Telecoms thriving in lawless Somalia) Kampuni zinazohudumia watu wa Somalia ni kama:

Tazama pia

Marejeo

     .
     .
  • Mauri, Arnaldo, Somalia, in G, Dell'Amore (ed.), "Banking Systems of Africa", Cariplo-Finafrica, Milan, 1971, pp. nbsp;209–217.[1]
  • Samatar, Said S. (1982). Oral Poetry and Somali Nationalism. Cambridge: Cambridge University Press. ISBN 978-0-521-10457-9. 
  • Schraeder, Peter J. (2006). "From Irredentism to Secession: The Decline of Pan-Somali Nationalism", In Lowell W. Barrington, ed., After Independence: Making and Protecting the Nation in Postcolonial and Postcommunist States (pp. 107–137). Ann Arbor, MI: University of Michigan Press. ISBN 978-0-472-09898-9. 
  • Shay, Shaul. Somalia in Transition Since 2006. Piscataway, NJ: Transaction Publishers, 2014.
  • Warmington, Eric Herbert (1995). The Commerce Between the Roman Empire and India. South Asia Books. ISBN 8121506700. 
  • (1989) Escape from Violence: Conflict and the Refugee Crisis in the Developing World. New York: Oxford University Press. ISBN 978-0-195-05592-4. 

Viungo vya nje

Commons-logo.svg
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Habari, mitandao inayojadili kuhusu Somalia.
Habari za kawaida
Watambuzi


Nchi za Afrika Bara la Afrika
Afrika ya Kati (Jamhuri ya) | Afrika Kusini | Algeria | Angola | Benin | Botswana | Burkina Faso | Burundi | Cabo Verde | Chad | Cote d'Ivoire | Eritrea | Eswatini | Ethiopia | Gabon | Gambia | Ghana | Guinea | Guinea Bisau | Guinea ya Ikweta | Jibuti | Kamerun | Kenya | Komori | Kongo (Jamhuri ya) | Kongo (Jamhuri ya Kidemokrasia ya) | Lesotho | Liberia | Libya | Madagaska | Malawi | Mali | Misri | Morisi (Visiwa vya) | Mauritania | Moroko | Msumbiji | Namibia | Niger | Nigeria | Rwanda | Sahara ya Magharibi | Sao Tome na Principe | Senegal | Shelisheli | Sierra Leone | Somalia | Sudan | Sudan Kusini | Tanzania | Togo | Tunisia | Uganda | Zambia | Zimbabwe
Maeneo ya Afrika ambayo ni sehemu za nchi nje ya Afrika
Hispania: Kanari · Ceuta · Melilla | Italia: Pantelleria · Pelagie | Ufaransa: Mayotte · Réunion | Uingereza: · St. Helena · Diego Garcia | Ureno: Madeira
Africa satellite plane.jpg Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Somalia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.